Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ukiwapongeza wewe inatoshaWapongeze Yanga mkuu. Kwa dk nyingi wamekuwa wakiongoza, hizi dakika za nyongeza hazibadili uhalisia kuwa wamekuwa bora kwa dk nyingi zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwapongeza wewe inatoshaWapongeze Yanga mkuu. Kwa dk nyingi wamekuwa wakiongoza, hizi dakika za nyongeza hazibadili uhalisia kuwa wamekuwa bora kwa dk nyingi zaidi.
Leo mke lazima akachapwe ndio atakoma kuweka dharauIla naona ngumi zitawaka hapa, tatizo watu wengi wanachochea moto mke akaliwe... Kuna mashabiki wa Yanga wengi mno na wa Simba, ngoja lazima moto utawaka ha haaaa, ila akimuacha mke wake ndio aibu hatarudia tena ku bet hadi mke..
Mkienda kwao mkaze wasiwafunge zaidi ya 1-0, mkipigwa 2 -0 watakuwa juu yenu kwa magoliMpira uisheee tu [emoji23] tuondoke na point 3
Bahati tena ?....Tatizo la kupara magoli ya mapema ya kubahatisha🫣🫣
Unadhani ukiwapongeza na ww watabadilika kutoka kuwa vyura na kuwa mijusi?Ukiwapongeza wewe inatosha
Ungekuwa uwezo hii game mngeimaliza first halfBahati tena ?....
Huko hawatufungi kabisa yaaanMkienda kwao mkaze wasiwafunge zaidi ya 1-0, mkipigwa 2 -0 watakuwa juu yenu kwa magoli
Kumbe ni mtoano eeh?Mkienda kwao mkaze wasiwafunge zaidi ya 1-0, mkipigwa 2 -0 watakuwa juu yenu kwa magoli
Mbona banda umiza kelele sana, kunani huko?