National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Ndo na nyie mshinde ili mpate kusumbua. Hahahaaa. LolMnasumbua sana khreee!!
Sisi tumezoea ushindi !!! Sio shida zetuNdo na nyie mshinde ili mpate kusumbua. Hahahaaa. Lol
Wanasumbua utadhani wameingia fainali shirikisho.Jamani Yanga ina maana kushinda kwenu imekuwa topic ya mji mzima hatulalii...kumfunga TP mazembe aliejichokea...leo redio zote kama kuna sherehe gani sijui...aiseee...
Mtani si inatakiwa ufurahie na sisi au?Jamani Yanga ina maana kushinda kwenu imekuwa topic ya mji mzima hatulalii...kumfunga TP mazembe aliejichokea...leo redio zote kama kuna sherehe gani sijui...aiseee...
Kimoyo moyo labda π π πMtani si inatakiwa ufurahie na sisi au?
Hapana jamani, onyesha furaha ya wazi kabisaaa. Tufurahie pamojaπππKimoyo moyo labda π π π
Wenye akilizaoooo.walinielewa.wamekulahelaFT TUTAFUNGWA
2-1/3-1/3-2
ALL NNALL.TUFUNGWE LAKINI PESA YA MAMA SAMIA AIKWEPEKI LAZIMA TUILEEEEEEE HATA KWA GOLI MOJAA
cocastic huyu jamaa hua anakuandama sana kumbe nae ameshaumaliza mwendo tu kama weweYanga ikishinda mm shoga