Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Bingwa anachukua mia ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We sijui utakuwa wangapiHuyo ndio prof nabi sub 2 zimebadili hali ya hewa
Namsaka tukapige threesome hapaMama J umemuona? 😁
Eendiwoooooooooooooo 💃💃💃🕺🕺🕺🕺🤸🤸✌️✌️✌️💚💚💚💚💛💛💛💛!Young African [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
Sisi ndo sisi wengine MAFISI
Hahahaaa! Kumbe.Yap ni kijisehemu tu ila itategemeana na matokeo ya siku hiyo
Disappearing like puuuff
UTO naifananisha na MÁLAGA walifika nusu fainal uefa msimu uliofuata wakashuka daraja
Nipo pale UTO nawaonea huruma
BAHLABANE BA NTWA
Mimi itabidi nijifunze kitu kimoja cha "UNITY" kutoka kwa ndugu zangu.Sisi kama wanasimba tunaungana na wananchi wote na familia ya mpira kuwatakia ubingwa mwema ndugu zetu Yanga kwa kuchukua ubingwa kibabe. Hakika tuna la kujifunza kutoka kwa WANANCHI.
Mnakuja kwa speed ya Abooud sasaHii ndio Yanga Bwana.
Mbona Kisinda hapo mmemsahau?
Watamuweka na Onyango piaMbona Kisinda hapo mmemsahau?