joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wavunja kuni hawa wanachojua kuikamia Yanga na kucheza rafu,hawa wajinga walituvunjia Pacome na Yao kabla kukutana na Mamelodi. Kuna huyu mpuuzi Sospeter Banyana anacheza rafu za kijinga sana.
Tunajua kukamia kunatokana na nini kwani leo tunacheza na timu mbili na ndio maana wanakuwaga wagumu ila wanaishiaga kupigwa.
Tunajua kukamia kunatokana na nini kwani leo tunacheza na timu mbili na ndio maana wanakuwaga wagumu ila wanaishiaga kupigwa.