FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Dakika ya 105 bado game on mpaka Yanga arudishe
 
Yanga mashabiki
Kocha
Wachezaji
Wote ni short tempered.
Kweli hawa jamaa ni wachanga. Hawaamini kama kuna kufungwa.
 
Yanga mashabiki
Kocha
Wachezaji
Wote ni short tempered.
Kweli hawa jamaa ni wachanga. Hawaamini kama kuna kufungwa.
 
Reactions: Tsh
FT. Kama ni bikira Vyura wametolewa bikra kilevi mno.
 
Hivi Simba tulishindwaje kuwafunga hawa vyura wa jangwani?

Asanteni watoto wa Bakhresa mmewabikiri uto

Kinachofuata hapo ni kupigwa tu mabao mechi zijazo
 
Yanga wamebikiriwa πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜³πŸ˜³πŸ˜³
 
Za Nyongeza zilikuwa 7 ila Mpira umechezwa dakika 10 na sekunde kadhaa .

Jee Leo utopwilo mnasemaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…