Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaishi kwa tabu kuuSimba huwa mnapitia wakati mgumu Sana poleni aisee, yani hapa sina Raha kabisa na haya matokeo sasa nyie Miaka mitatu mnaishi vipi? Poleni tena
Hivi kumbe timu yenye red card kufungwa ni kanuni eh, mbona kuna timu zinashinda au zinasare zikiwa na red card, na azam ilivyokuwa inacheza hovyo leo mkashindwa hata kutumia hiyo nafasiNDio unaifungaje bila red card??
😃😀😀😀😀😀😃 Kuna dogo nilimbeba kuja nae uwanjani analia hapa kama mtoto yaani 😀😃Piga mafoto sisi tulivyojisikia....😃😃😃
Yanga vs 5imba na azamEvelyn Salt toka huko bafuni usicheke sana utapaliwa.
Hawa kenge walijiona wao ndio wao🤣🤣🤣Uwiiiiiiiiii hatimae....wale mabingwa wa mlango wa nyuma wamekutana na kigingi...
Hawa kenge walijiona wao ndio wao🤣🤣🤣Uwiiiiiiiiii hatimae....wale mabingwa wa mlango wa nyuma wamekutana na kigingi...
Kumradhi! Kuna changamoto kidogo. Yanga imetatuliwa vibaya.Haoooooooo haooooooo haoooo ahahahhaahhaahhhaahahahahahahahhahahahaahhaahahaahjajahahahaha nyuma mwiko haoooooooo haooooooooooo
Haoooooooo
Hapana, kufa yanga haiwezi kufa....ndio maana tunaenda kuchukua Ubingwa kama kawaida...hizi ni vichangamoto vidogo vya watoto katika soka...Unakufa na tai shingoni .....
Yani ndugu yangu ngoja niagizie mbege hapa...😃😃😃🤣🤣🤣🤣Hawa kenge walijiona wao ndio wao🤣🤣🤣
Mbona City imefungwa mzee, naomba niache..!!
Ulaaniwe sana yaani sana 😀😃Hawa kenge walijiona wao ndio wao🤣🤣🤣
Hapana, kufa yanga haiwezi kufa....ndio maana tunaenda kuchukua Ubingwa kama kawaida...hizi ni vichangamoto vidogo vinavyoletwa na watoto katika soka...Bingwa ni mmoja tuUnakufa na tai shingoni .....
😃😀Mbona City imefungwa mzee, naomba niache..!!
Hatuongei tena my wangu mpaka ligi iishePoleni utopolo aka vyura wa jangwani sasa mdomo utapungua kidogo..
🤣🤣 umenikaushia kupokea simu😅😅😅Yanga vs 5imba na azam
Yanga ni kubwa sanaa haijawahi kucheza na timu moja yani 😹
Nakupenda my mtani wangu😃😃😃😃😃Hatuongei tena my wangu mpaka ligi iishe
Mkuu kwa sisi tunaojua mpira ilikua ni suala la mda tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ulaaniwe sana yaani sana 😀😃
Hao ndio gongowazi.Ukiweka simu ovyo imekwenda.Hii inaitwa double jeopardy kwa lugha ya sheria.Ipi imeuma zaidi kuibiwa simu au kupigwa kimoja?😭😭😭😭😭😭😭 Wameniibia na kiswaswadu changu hapa