Wanaishi kwa tabu kuuSimba huwa mnapitia wakati mgumu Sana poleni aisee, yani hapa sina Raha kabisa na haya matokeo sasa nyie Miaka mitatu mnaishi vipi? Poleni tena
Hivi kumbe timu yenye red card kufungwa ni kanuni eh, mbona kuna timu zinashinda au zinasare zikiwa na red card, na azam ilivyokuwa inacheza hovyo leo mkashindwa hata kutumia hiyo nafasiNDio unaifungaje bila red card??
πππππππ Kuna dogo nilimbeba kuja nae uwanjani analia hapa kama mtoto yaani ππPiga mafoto sisi tulivyojisikia....πππ
Yanga vs 5imba na azamEvelyn Salt toka huko bafuni usicheke sana utapaliwa.
Hawa kenge walijiona wao ndio waoπ€£π€£π€£Uwiiiiiiiiii hatimae....wale mabingwa wa mlango wa nyuma wamekutana na kigingi...
Hawa kenge walijiona wao ndio waoπ€£π€£π€£Uwiiiiiiiiii hatimae....wale mabingwa wa mlango wa nyuma wamekutana na kigingi...
Kumradhi! Kuna changamoto kidogo. Yanga imetatuliwa vibaya.Haoooooooo haooooooo haoooo ahahahhaahhaahhhaahahahahahahahhahahahaahhaahahaahjajahahahaha nyuma mwiko haoooooooo haooooooooooo
Haoooooooo
Hapana, kufa yanga haiwezi kufa....ndio maana tunaenda kuchukua Ubingwa kama kawaida...hizi ni vichangamoto vidogo vya watoto katika soka...Unakufa na tai shingoni .....
Yani ndugu yangu ngoja niagizie mbege hapa...ππππ€£π€£π€£π€£Hawa kenge walijiona wao ndio waoπ€£π€£π€£
Mbona City imefungwa mzee, naomba niache..!!
Ulaaniwe sana yaani sana ππHawa kenge walijiona wao ndio waoπ€£π€£π€£
Hapana, kufa yanga haiwezi kufa....ndio maana tunaenda kuchukua Ubingwa kama kawaida...hizi ni vichangamoto vidogo vinavyoletwa na watoto katika soka...Bingwa ni mmoja tuUnakufa na tai shingoni .....
ππMbona City imefungwa mzee, naomba niache..!!
Hatuongei tena my wangu mpaka ligi iishePoleni utopolo aka vyura wa jangwani sasa mdomo utapungua kidogo..
π€£π€£ umenikaushia kupokea simuπ π πYanga vs 5imba na azam
Yanga ni kubwa sanaa haijawahi kucheza na timu moja yani πΉ
Nakupenda my mtani wanguπππππHatuongei tena my wangu mpaka ligi iishe
Mkuu kwa sisi tunaojua mpira ilikua ni suala la mda tuπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Ulaaniwe sana yaani sana ππ
Hao ndio gongowazi.Ukiweka simu ovyo imekwenda.Hii inaitwa double jeopardy kwa lugha ya sheria.Ipi imeuma zaidi kuibiwa simu au kupigwa kimoja?πππππππ Wameniibia na kiswaswadu changu hapa