Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Binafsi naona una tatizo. Mapenzi yanazidi yanakuletea shida.Tunakumbushana au unataka tulete na comments zenu za jana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi naona una tatizo. Mapenzi yanazidi yanakuletea shida.Tunakumbushana au unataka tulete na comments zenu za jana.
Uto, kupunguza magoliKwahio aliemwaga maji milangoni ni yupi kwani?
KabisaAzam FC Kwa namna wanavyocheza, timu ya Yanga isingekuwa pungufu wangefungwa nyingi
Bado sijaelewa hasa Timu ya Azam ina shida gani, they have everything in place 🙌
Dakika 70 Azam 1 Yanga 0
KabisaAzam FC Kwa namna wanavyocheza, timu ya Yanga isingekuwa pungufu wangefungwa nyingi
Bado sijaelewa hasa Timu ya Azam ina shida gani, they have everything in place 🙌
Dakika 70 Azam 1 Yanga 0
Sijajibiwa tu yale maji ya mlangoni nani alietumwa?,cctv hazina dogo na uzuri jamaa wakairushaNachekea chooni
Kwa jina la yesu wa nazareti🤣Jina azam hata akiifunga yanga 10 bila, bado ni timu ndogo sana, naweza sema azam ni kiazi mviringo tu kwa yanga.
Nafanyaje kupata hiyo dp yako jamaaMwamuzi ana kifaduro, unampaje kadi nyekundu Baca
Azam atalalaDakika ya 70
Bado 20
Daaah nyingiii
Hawastahili ushindi.Azam wanaongoza lakin amna cha maana wanacheza ubishoo tu amna kitu
sio kitoto ndo uwezo wake umeishia hapoKabisa
Azam wanacheza kitoto na Gongowazi wakikazana wanaweza kurudisha bao lao
Azizi Ki naye amekuwa kama Mzinze wa mwaka janaAzam wanafiki ndio maana hawafanikiwi. Walitaka kuwapa Yanga goli la Bure. Sema Aziz Kii akapiga vibaya mpira. Very stupid team.
sio kitoto ndo uwezo wake umeishia hapoKabisa
Azam wanacheza kitoto na Gongowazi wakikazana wanaweza kurudisha bao lao
Labda njaayanga anashinda 2-1
sio kitoto ndo uwezo wake umeishia hapo
Sema hiyo dp umeua sana we jamaaMwamuzi ana kifaduro, unampaje kadi nyekundu Baca