Hiyo itatokea kwa bahasha tu za GSM.Tena Hata Hiyo Droo Inaweza Kuwa Sherehe kwao kwa Upumbavu wanao ufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo itatokea kwa bahasha tu za GSM.Tena Hata Hiyo Droo Inaweza Kuwa Sherehe kwao kwa Upumbavu wanao ufanya
wameingia pungufuAzam FC Kwa namna wanavyocheza, timu ya Yanga isingekuwa pungufu wangefungwa nyingi
Bado sijaelewa hasa Timu ya Azam ina shida gani, they have everything in place 🙌
Dakika 70 Azam 1 Yanga 0
wameingia pungufuAzam FC Kwa namna wanavyocheza, timu ya Yanga isingekuwa pungufu wangefungwa nyingi
Bado sijaelewa hasa Timu ya Azam ina shida gani, they have everything in place 🙌
Dakika 70 Azam 1 Yanga 0
Mobeto kazi aliyopewa kumkausha damu huyu chai jana ameifanya vizuriIla Aziz ki ameshuka sana kiwango bora angeenda zake uarabuni wakati ule yupo na kiwango chake.
Anakosa kosa magoli sanaAzizi Ki naye amekuwa kama Mzinze wa mwaka jana
mamuzi sahihi kabisaDakika ya 80
Diarra anachukua kadi ya njano kwa kosa la kumshunikiza mwamuzi baada ya refa kusimamaisha mchezo kufuatia mchezaji wa Azam kuanguka chini
😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂Dakika ya 80
Diarra anachukua kadi ya njano kwa kosa la kumshunikiza mwamuzi baada ya refa kusimamaisha mchezo kufuatia mchezaji wa Azam kuanguka chini
Nimetoa maoni yangu baada ya kuona namna Azam FC wasivyo seriouswameingia pungufu
8Bado dakika ngapi kumalizika mpira
Nimetoa maoni yangu baada ya kuona namna Azam FC wasivyo seriouswameingia pungufu