Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Hata hamu ya msosi sina , ila Mpira ndivyo ulivyo unamatokeo matatu inabidi tuyakubali, asiyekubali kushindwa sio mshindaniWanaishi kwa tabu kuu
Yani tabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hamu ya msosi sina , ila Mpira ndivyo ulivyo unamatokeo matatu inabidi tuyakubali, asiyekubali kushindwa sio mshindaniWanaishi kwa tabu kuu
Yani tabu
Kwani nyie mlikuwa MASHUJAA jana?Ndiyo naona ni kiasi gani tulikuwa tunawapa stress, wafunge Azam sherehe mfanye nyie,
𝗡𝗮 𝘄𝗲𝘄𝗲 𝗻𝗶 𝗠𝘄𝗮𝗻𝗮𝗶𝗻𝗷𝗶 ?🤣🤣🤣
Basi tuwape azam ile tuta yao au unasemajeKwa hisani ya refa na wasaidizi
Hapana Mzee mwenzangu, Mimi ni Mnyama timu niliyoanza kuishabikia tangu nikiwa na miaka 5 👊kama hutojali wewe ni mwana yanga na mana yangu kukuliza mzee mwenzangu
Nyie mbona matokeo ya jana yaliwaumizaNdiyo naona ni kiasi gani tulikuwa tunawapa stress, wafunge Azam sherehe mfanye nyie,
😀😀😀😀Aaah au siyo!??Mkuu baki mashariki ya kati tu , huku haupamudu😅😅
Labda Baka aulizwe, kwani aliona ni heri red card kuliko kumuachia jamaa akafungeNDio unaifungaje bila red card??
Akili zimewarudia.Huu ni mwanzo tu Gongowazi.Hata hamu ya msosi sina , ila Mpira ndivyo ulivyo unamatokeo matatu inabidi tuyakubali, asiyekubali kushindwa sio mshindani
Wapewe kwa hisani ile ileBasi tuwape azam ile tuta yao au unasemaje
Endelea kuota chunga usijinyee.Mpira hauna guarantee. Zinafungwa timu za maana itakuwa huu mchanganyiko wa,wachezaji?Ili Yanga ipoteze mechi kwanza wawe pungufu na mpinzani awe ana paki basi uku akijiangusha muda wote wa mchezo Sasa kwanini tusiseme Yanga Bingwa.
Mpaka Yanga kuja Tena kudondosha Tena point ni mpaka mwaka mwingine mwezi kama huu.
Hujui mpira kipenzi.Sasa mbinu ishapatikana ya kuishusha Yanga Daraja
Kila timu itoe bahasha Yanga wapewe red card basi mshamaliza
Hakuna cha Mungu wala nini , ipo wazi kama ya mbuzi kwamba mmekandwa😅😅😅😀😀😀😀Aaah au siyo!??
Napamudu vizuri sana kaka.
Mie mwanakandanda safi sana.
Game ya leo kwa sajili ya Azam na kwa kikosi chake alitakiwa ashinde ushindi mnono,inavyoonekana ameshinda ile 'Mungu kapenda'.
Licha ya Yanga kufungwa ila imeonesha ukubwa wa Yanga.
Ndio hata mimi nashangaa aisee.Ili Yanga ipoteze mechi kwanza wawe pungufu na mpinzani awe ana paki basi uku akijiangusha muda wote wa mchezo Sasa kwanini tusiseme Yanga Bingwa.
Mpaka Yanga kuja Tena kudondosha Tena point ni mpaka mwaka mwingine mwezi kama huu.