Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hizi watazilipa makolokochoIli Yanga ipoteze mechi kwanza wawe pungufu na mpinzani awe ana paki basi uku akijiangusha muda wote wa mchezo Sasa kwanini tusiseme Yanga Bingwa.
Mpaka Yanga kuja Tena kudondosha Tena point ni mpaka mwaka mwingine mwezi kama huu.
Na hizi watazilipa makolokochoIli Yanga ipoteze mechi kwanza wawe pungufu na mpinzani awe ana paki basi uku akijiangusha muda wote wa mchezo Sasa kwanini tusiseme Yanga Bingwa.
Mpaka Yanga kuja Tena kudondosha Tena point ni mpaka mwaka mwingine mwezi kama huu.
Ndiyo hivyo tenamechi ngumu sana! wengi tunampa nafasi yanga lakn sometimes mambo yanachange
Maneno ya kujifariji hayoIli Yanga ipoteze mechi kwanza wawe pungufu na mpinzani awe ana paki basi uku akijiangusha muda wote wa mchezo Sasa kwanini tusiseme Yanga Bingwa.
Mpaka Yanga kuja Tena kudondosha Tena point ni mpaka mwaka mwingine mwezi kama huu.
Yanga bingwaEndelea kuota chunga usijinyee.Mpira hauna guarantee. Zinafungwa timu za maana itakuwa huu mchanganyiko wa,wachezaji?
Sawa kaka ndio mpira sijakataa kuna kufunga,kufungwa ama kusare.Hakuna cha Mungu wala nini , ipo wazi kama ya mbuzi kwamba mmekandwa😅😅😅
Maneno ya kujifariji hayoIli Yanga ipoteze mechi kwanza wawe pungufu na mpinzani awe ana paki basi uku akijiangusha muda wote wa mchezo Sasa kwanini tusiseme Yanga Bingwa.
Mpaka Yanga kuja Tena kudondosha Tena point ni mpaka mwaka mwingine mwezi kama huu.
Maandishi haya si mageni jijini....labda kwa mgeni jijini, ila kwa wenyeji wa Jiji ni maandishi tuliyoyazoea😄Hapana, kufa yanga haiwezi kufa....ndio maana tunaenda kuchukua Ubingwa kama kawaida...hizi ni vichangamoto vidogo vya watoto katika soka...
YANGA BINGWA
Chukua vifaa ukachezeshe weweMbona kadi nyingi sana ni mpira au vita
Palestina kabigwa arsenal kapigwa , yanga kapigwa mkuu bora ujinyonge tu😅😅😅Sawa kaka ndio mpira sijakataa kuna kufunga,kufungwa ama kusare.
Hata Arsenal amefungwa na timu mbovu new castle kwa kumuotea kigoli kimoja.
Ila hao Azam si tutarudiana nao!?
Ndio nitakwambia kwanini nilisema leo wameshinda kwa 'Mungu kapenda'.