Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Watulie tu watapata. Naamini wameangalia mechi ya Nyuki wa TaboraWamekoswa
Mbona dk bado nyingi mkuuToa Dube..
Hamna mtu mle
Si wamesema Dube day milango mefunguka. Sa kumbe bado kalogwa?Aliyemloga Dube Mungu anamuona Kwa kweli
Leo anaweza funga mkuu, si unaona anavyojituma.Haki ya Mungu yani hakuna raha naipata kama kumuona Dube anakosa magoli.
Bangi hawavuti nyumbu kama nyie labda😂😂Kula bhangi upumzike kijana
Ni mpaka wakamuombe msamaha Bakhresa. Atamfungua,wanadhani majini waliyomtupia Mayele wanayo wao tu.Huyu dube si wamtoe kwani lazima acheze .anajiangusha hovyo hovyo tu
Haki ya Mungu yani hakuna raha naipata kama kumuona Dube anakosa magoli.
Mambo yao waachiwe wenyeweDuh, Kusema Dube day kumeshamtoa mchezoni mwenzenu...maana hakuna anachofanya..hii inawapagawisha Wachezaji.
Mimi ni koro blaza ila naiombea ushindi timu ya nyumbani.WEwe ni uto polo waiyo dobidobi