Tatizo anajigonga gonga sana miguu kama amelewa bhanaWakati mashabiki wanaomba bora second half asirudi
dogo hamna kitu anachojua ni kukimbia tuu kukaba hajui wala kutoa cross hajui kwa kweli viongozi wa yanga kuna watu wanawafuga pale ambao hawawezi kuja kuisaidia timu na kubebanaMamaee huyu Kibabage sijui alikuaje akasajiliwa Yanga mbaka Leo siamini kabisa tuliuacha David Bryson tukamsajili huyu dogo... Hasara
πππ Acha umbea kiongoziTupia kapicha kake mkuu tumwone na sisi
Hakuna mchezaji pale,kumbia ovyo bila kutumia akiliMamaee huyu Kibabage sijui alikuaje akasajiliwa Yanga mbaka Leo siamini kabisa tuliuacha David Bryson tukamsajili huyu dogo... Hasara
Si ndiye mwenye mechi yakeπππDube toa, weeka msonda
Ewaaaaa sikia second half watakavyokuja. Kwa hasira Piga sindano mpaka kochaMuda WA masindanoππ
Ulimsikiliza ibenge?Yanga kipindi cha pili ni habari nyingine...
Umesema ni mrembo nilitaka tuprove tuuh kama kweli yaliyomo yamo mkuuπππ Acha umbea kiongozi
dube day inafaanaTimu morali imekufa, wakicheza hivi kipindi cha 2 Yanga atafungwa
DUBE DAY utamtoaje kwenye cku yakeDube toa, weeka msonda
Kalogwaa mdaa sana Sema hajagundua mwenyewe.Si ndiye mwenye mechi yakeπππ