Wewe jua tu mtoto ni mzuri halafu mimi sio fala inatoshaπ π π π π π πUmesema ni mrembo nilitaka tuprove tuuh kama kweli yaliyomo yamo mkuu
Hakika. Au kama mbwa wenye kichaa au kuku waliokatwa vichwaAu kuku wenye mdondo
Sawa usikimbie Uzi tuUlimsikiliza ibenge?
Alikwambia hajui anaenda kucheza na mtu ghani hivyo ilikua ni lazima kipindi cha kwanza kitumike kusoma prep alafu sec half ndo nyie vyura muingie kupiga pepa
Subiri dhoruba kipindi kijacho
Usikimbie siti..
zvision.link/ch35Mwenye link inayoonesha mechi atusaidie
Unaangalia mpira gani?Hapa Yanga tukubali tumepiga hatua nyiiiing kurud nyuma. Leo tutapigwa na tukijitahid sanaaa ni sare
Herse atatuelezaIla kocha mbinu zake sizielewiii,mbona wachezaji Hawana molali kama enzi za Msakoo wa Master G.
Ni mchezaji wa utopolo nini?Nimeona mtu anatapika LIVEπ π
Yanga ya TANZANIAShalom shalom , mkuu wewe upo upande upi kwa upendo wake yesu alie tufia msalabaniπ€