Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Wapo na Evelyn SaltNamuonea huruma shoga angu mtani...
Yule Maza anawauzia supu za vibuduhawa wanze kufungwa hapa
tuone ulaji wao wa supu umekakaje
Hersi yuko busy na maandalizi ya kugombea ubunge, yanga kawaachia kwa muda kidogoYani timu kubwa kama Yanga tulipofikia ni wa kumchukua kocha asiye na uzoefu kweli? Msiba wa kujitakia huu.
Hivi ni sababu zipi za maana zilisababisha mkaachana na Gamondi? Najua we unajua uhalisiaYani timu kubwa kama Yanga tulipofikia ni wa kumchukua kocha asiye na uzoefu kweli? Msiba wa kujitakia huu.
Vilivyo bora navyo huzidiwa ubora👊🏻💚😁
Timu kubwa wapi? Kama Africa bado siyo kubwa ndo inautafuta ukubwa.Yani timu kubwa kama Yanga tulipofikia ni wa kumchukua kocha asiye na uzoefu kweli? Msiba wa kujitakia huu.
Evelyn Salt ana tipa lake limejaa vicheko..leo simuoniWapo na Evelyn Salt
Shangaaa...Timu kubwa wapi? Kama Africa bado siyo kubwa ndo inautafuta ukubwa.
Atakuwa njano huyo moderatorModerator unaboa...
Walimzalilisha Mzee wa watuLaana ya Gamondi
dada makamasi tuliaYani timu kubwa kama Yanga tulipofikia ni wa kumchukua kocha asiye na uzoefu kweli? Msiba wa kujitakia huu.