Namuongezea jeroMama awape milioni tano yao Hilal sisi watanzania tumeridhia
AhhaahahahaHuyu Mod ana kiherehere.
Simba ikifungwaga, within a second anabadili ubao.
Leo sijui kajinyea?????
Chezea Hamisa ππAziz K amekwisha. aiseee....!!
Yan muda huu atakua zake beach anapiga cocktail yake hana habari huku anacheeeeeekaLaana ya Gamondi
Una-point usikilizwe MjoliMama awape milioni tano yao Hilal sisi watanzania tumeridhia
Leo Kazi kwenu utopolo,mtu mjinga kachukua mara 3 mbele ya wajinga zaidi, mtu mjinga kafika nusu shirikisho
Akae kwa kutuliaEvelyn Salt ana tipa lake limejaa vicheko..leo simuoni
Hata ningekuwa mimi naachaje kuchekaYan muda huu atakua zake beach anapiga cocktail yake hana habari huku anacheeeeeeka
πππππYanga siku hizi anagawa tu.
Kila mtu anajichapia.