mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ni muda wa kufukuza wachezaji sasaNiumie kwa lipi! Mimi nimefurahi kufungwa Syringe fc.
😀😀Kafungwa huyu, kumban ni kumuongezea maumivu
Pole sana mtani wa jadi🤣🤣Aisee mie nilishangaa nilitukana matusi yote hapa uwanjani
Haya matusi hayaIla dada kazidi kudanga.
Katoka kwa muuza ramba ramba,kaenda kwa mnyamwezi,leo kaenda kwa msudan na kote anatoa
Shukrani brotherPole sana mtani wa jadi🤣🤣
Banda umiza lote linashangilia najiuliza nini kimetokea huko Yanga imefunga?Pole sana mtani wa jadi🤣🤣
🦁Kafungwa huyu, kumban ni kumuongezea maumivu
Yanga hawana imani, hawatafanya hiloUtopolo jifunzeni kwa man city, imefungwa mara 5 mfululizo na kocha anapigiwa magoti ,kuongozea mkataba + salary
Huruma sana Yanga kuna kirusi kimeingia sio bure wachezaji wagonjwa waleYanga hamna uwezo wa kuwafunga TP Mazembe na MC Algers. Hii maanake ni kwamba mtapigwa kama ngoma. Mkija kwenda Sudan kipigo kipo palepale. Lazima mburuze mkia kwenye kundi lenu.
Hivi ulikuepo uwanjani kweli au umesikiliza kwenye redio?Mpumelelo leo kajitahidi, bahati haikuwa upande wake.
Kwani we unavyodhani hii lineup ya leo ilikuwa ni ya kocha??Tokea afike Yanga hajafanya vizuri kama ilivyokuwa inategemewa, atakuwa ana stress hivyo ifike wakati aanzie bench awe supersub, huenda akafanya vizuri.