FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

😀😀😀
downloadfile-37.jpg
 
Tokea afike Yanga hajafanya vizuri kama ilivyokuwa inategemewa, atakuwa ana stress hivyo ifike wakati aanzie bench awe supersub, huenda akafanya vizuri.
Kwani we unavyodhani hii lineup ya leo ilikuwa ni ya kocha??

Hata uchezaji tu wa leo sijaona utofauti wowote wa limbinu za kiufundi kutofautisha na ule mfumo wa Gamondi.

Kwasababu mechi mpaka kuelekea mwishoni mwa kipindi cha kwanza tayari Dube alikuwa anahitaji replacement.

Lakini kocha alilazimika kumuacha kwasababu lilikuwa ni pendekezo la mabosi zake.
 
Back
Top Bottom