Dah. Wanawake mnajua kututesa kweli.Yanga akishinda navua nguo
Mi nimemwahidi ntakuwepo, ikibidi tuvue woteπ€£Dah. Wanawake mnajua kututesa kweli.
Hahaha kuna mtu ameahidi kuvua nguo mkuuHivi leo hakuna aliyeahidi Yanga ikifungwa au kushinda apigwe ban?
WanakujaaaHivi leo hakuna aliyeahidi Yanga ikifungwa au kushinda apigwe ban?
Akikubali usilete hata mrejesho mkuu maana wivu.Mi nimemwahidi ntakuwepo, ikibidi tuvue woteπ€£
TayariOya mbona huleti na kutoa update mzee shida nini
Kuna mchongo nausikilizia broπHivi leo hakuna aliyeahidi Yanga ikifungwa au kushinda apigwe ban?
Unatoa mrejesho au unahadithia Utopolo anavyoshambulia kwa kasi ya konaHilal wanaokoa kona ya pili hapa
ππππ
πππHivi leo hakuna aliyeahidi Yanga ikifungwa au kushinda apigwe ban?
WamekoswaMbona nasikia makelele ?