FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Halafu Shadeeya sio vizur kujifungia mwenyewe kufaidi mpira.

Nawatakia yanayostahili kuwapata yawapate kulingana na uwezo wa timu yenu. Ikiwa ni kufungwa haya, ikiwa ni ushindi haya. Ili mradi mnastahiliπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜Ž
 
Hilal wanachofanya ni kama alivosema ibenge hawaijui timu wanayo cheza nayo hivyo muda mwingi naona wanajitahid wasifanye makosa ila kuhakikisha wanatumia chances chache tuuh....
Huku wanawasoma ndugu zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…