Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Mbona mnacheza vizuri tu?Hapa Yanga tukubali tumepiga hatua nyiiiing kurud nyuma. Leo tutapigwa na tukijitahid sanaaa ni sare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnacheza vizuri tu?Hapa Yanga tukubali tumepiga hatua nyiiiing kurud nyuma. Leo tutapigwa na tukijitahid sanaaa ni sare
Wanamwonea, anajituma hadi anaanguka.Wakati mashabiki wanaomba bora second half asirudi
Kumeanza kuchangamkaLawama zimeanza kwenda mpaka kwa Kamwe
Kacheze wewe au peleka timu yakoYeboyebo wanacheza kama bata wanaoharisha
Haya majamaa shida yao kubwa yalitaka kufikia kiwango cha Simba tu.Hapa ni kuomba kudla za Mungu lakini Ile Yanga ilikuwa tishio ishapotea kabisa
Mmhhh mzee mechi hii iishe bila ushindi utaniambia tuMbona mnacheza vizuri tu?
Au kuku wenye mdondoYeboyebo wanacheza kama bata wanaoharisha
Subiri kesho watakavyomwagika, mapema tu.Uto mpo wapi?
Uwanjano hampo, hapa kwenye uzi hatuwaoni
Yanga kipindi cha pili ni habari nyingine...Al -hilal omduman wamesha isoma yanga sasa kinachofata ni mwendo wakuwapelekea wanachostahili
Ibenge nimemwelewa si mchezo
Tusubiri kipindi cha pili
Half time
Young Africans 0-AL Hilal 0
Tumerud kule kule tulikokuaga enzi hizoooooo!!..Yanga wasipoangalia kwa kiwango hiki, hawafiki mbali, performance iko so low
Yanga wanafika golini kwa Hilal sana tu.Mmhhh mzee mechi hii iishe bila ushindi utaniambia tu
Yanga ya Gamond wewe unaizungumzia, sio hiiYanga kipindi cha pili ni habari nyingine...
Tupia kapicha kake mkuu tumwone na sisiBantu wewe ni mrembo mno , ila sijui kwanini unajihusisha ma mambo ya hovyo kama yanga🤔🤔🤔🤔