Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bantu Lady anakusalimuAhhahaha hahahaa uwiiii
Yan nimetaman kuwatukana hawa Yanga tusi zito!!!!!! Ila bas tu acha ..Gamond alipaswabkuachwa mpaka meli inazama kabisaa tunatolewa Caf ndio wamtimue..ona sasaHivi hawa uto why wlimfukuza Gamond? Yani mnatimua kocha kabla ya mechi nzito kama hii
Kweli mmelogwa
hataree.Nyieee
Itakua ModeratorNani anaupdate magoli kwenye heading?
Sasa umeambiwa mchezaji anavuta shisha usiku kucha bado unataka aonyeshe kiwango gani tena??Aziz K amekwisha. aiseee....!!
Pole mtani muda bado.Yani timu kubwa kama Yanga tulipofikia ni wa kumchukua kocha asiye na uzoefu kweli? Msiba wa kujitakia huu.
Laana ya GamondiSiku ya kuteseka kwa Utopolo inaendelea
Namuonea huruma shoga angu mtani...Bantu Lady anakusalimu