ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ushuzi wa Herse kulewa sifa pumbav zakeKivipi
Gamondi alikosea wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushuzi wa Herse kulewa sifa pumbav zakeKivipi
Gamondi alikosea wapi
Hersi aondoke🐼Sasa ni wakati sahihi Hersi atueleze kwanini walimfukuza Gamondi. Kumbaf sana
Daa kiuhalisia inasikitisha sanaNarudi zangu kigamboni kwa tabu sana hapo wiki hii naendelea kunywa vidonge vyangu vya nat B
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Narudi zangu kigamboni kwa tabu sana hapo wiki hii naendelea kunywa vidonge vyangu vya nat B
Sure Masta. Kwa jicho la mbali hilo linaonekana kabisa. Muda utazidi kusemaSina shaka na kauli iliyosemwa kuwa yanga wanatumia masindano. 100% ni ukweli. Wamestukiwa kiko wapi..?
Niumie kwa lipi! Mimi nimefurahi kufungwa Syringe fc.Unaumia ukiwa wapi?
Kumbe tupo wengi.Upo kama Mimi kabisa
Azizi k abakHersi aondoke🐼
Hizo incidents za Mpumelelo kujitahidi mi sijaziona.Mpumelelo leo kajitahidi, bahati haikuwa upande wake.
Why were?Why now!!😥😥😥
Mno yaani dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭Daa kiuhalisia inasikitisha sana
Team yote imerudi kwenye default modeAliyegunduwa dawa za kuongeza nguvu jamani....!!
Sasa CHAMA amerudi ktk DEFAULT MODE...
Ule wa 'mwasibu'?😂😂Mkuu sasa hivi ule uzi wako wa Azizi Ki hauchangiwii kbs nini kimetokea Aposto au umeumwagia maji ya upako hawauoni?