Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa niaba ya Shunie nazipokeaPoleni sana Yanga.
Kwani wamemfanya nini?Nimeamini wanawake ni viumbe hatari sana.
Aziz ki ndo kawa hivi?!😄
leka tupu mleu!Third time
Eeeh mkuu,Ule wa 'mwasibu'?😂😂
Mna uhakika yule ni kocha?Kocha kachanganyikiwa…
Hadi washabiki tulikataa sub ya pacome hamna kocha aisee
Nani kakuomba ???? 😂😂😂😂😂😂Anyway; tunawatakiwa Simba ushindi mwema.
leo atakuwa ally kamwe huyo modeHuyu Mod ana kiherehere.
Simba ikifungwaga, within a second anabadili ubao.
Leo sijui kajinyea?????
Haiye mnu nyoo mryinga ufoileka tupu mleu!
Kuwa na heshma kidogoYanga ikipigwa huwa nasikia raha kama nakojoa wazunguuuuuuuu
Leo mwendo wa viwiliWakaweka kweli 😁😁😁💃
kumbe na wewe ni utopolo 🤓Tokea afike Yanga hajafanya vizuri kama ilivyokuwa inategemewa, atakuwa ana stress hivyo ifike wakati aanzie bench awe supersub, huenda akafanya vizuri.
kwasababu wanakikosi kipanaYanga hawajui hata wamtoe nani
9 Decemba hakanyagiRAMOVIC HAFIKI KRISMASI
Pira Germany 🤣🤣🤣Kocha kutoka Germany, wakati ni Turkey by dual citizenship