min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Yule ni tapeli nilishawahi kukaa nae bar moja akanywa pombe ndevu zikachafuka pombe kama jinga vile😂😂😂😂Mna uhakika yule ni kocha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ni tapeli nilishawahi kukaa nae bar moja akanywa pombe ndevu zikachafuka pombe kama jinga vile😂😂😂😂Mna uhakika yule ni kocha?
😀😀😀😀😀😀😀😀😀Aisee jamaa anatupa sana mawazoTokea afike Yanga hajafanya vizuri kama ilivyokuwa inategemewa, atakuwa ana stress hivyo ifike wakati aanzie bench awe supersub, huenda akafanya vizuri.
Na kwenye mechi ya namungo huyu hatoboiMna uhakika yule ni kocha?
hahaha9 Decemba hakanyagi
Pira Germany 🤣🤣🤣
Ina maana alikua anapiga kitu cha mbegeYule ni tapeli nilishawahi kukaa nae bar moja akanywa pombe ndevu zikachafuka pombe kama jinga vile😂😂😂😂
Yanga 0-Hilal 2Matokeo ngapi ngapi jamani 😃😃😃😃
kwenye cku yake unamtoajeSiasa za mpira za hovyo sana, badala ya kumtoa dube, unatoa max
😀😀😀Yule ni tapeli nilishawahi kukaa nae bar moja akanywa pombe ndevu zikachafuka pombe kama jinga vile😂😂😂😂
Dakika 95' Full Time
Young Africans 0-2 Al Hilal Omdurman
Yanga sasa inaburuza mkia katika kundi lao
Al Hilal Omdurman ya Sudan yenye makao ya muda kule nchini Mauritania Afrika ya Magharibi kufuatia vita nchini Sudan, leo kupitia mabao ya Coulibaly 63' na Al Tayeb 90' wazamisha jahazi la Yanga katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam Tanzania
Young Africans 0-2 Al Hilal Omdurman
Mpaka waseme kenge hawa🤣🤣🤣Hamjasemaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Pamoja na vita😂😂😂. Tusicheke Sana kesho tuna kibarua😁Naipenda SUDANI
Kafungwa huyu, kumban ni kumuongezea maumivuActive ameomba ban huyu