Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Acha dharau mkuu.Hatimaye kikundi cha wanufaika wa TASAF,kimepigwa tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha dharau mkuu.Hatimaye kikundi cha wanufaika wa TASAF,kimepigwa tena
Man City kashapoteza mechi 5 mfululizo sasa mkuu. Ni kawaida sana hiyo.Kweli majanga yanga imepoteza mechi 3 mfululizo!!
Aibu sana inapigwa nje ndani yaan Yanga imekua timu ya kujipigia tu kila anaetaka kujipigiaKweli majanga yanga imepoteza mechi 3 mfululizo!!
Na BadoKweli majanga yanga imepoteza mechi 3 mfululizo!!
Yanga sio Man CityMan City kashapoteza mechi 5 mfululizo sasa mkuu. Ni kawaida sana hiyo.
Mad-am kivip🤔 ( مدامj)Hivi sasa kikitokea kichapo kimoja tu kutokea Simba, GSM anatukanwa na kufukuzwa.
Kufeni tuYaan unamtoa nzengeli na abuya unamuacha dube na aziz ki 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾😢😢😢 YoungAfricansSC mmetutolea wapi huyu mtu
Kama mara Kwa mara wanapigwa faini Kwa kupita geti lisilo rasmi na hawaachi, kuna asilimia kubwa kweli walikuwa wanajidunga.Hawa jamaa inawezekana kweli walikuwa wanajidunga sasa wameshtukiwa mambo yanaenda kombo
Alianza kutoa jasho makwapani ndo bechi la ufundi wakamsanua avae koti!Kocha anavaa suti na joto lote hilo la dar
wajifunze kutoka kwa wanasimba wanamioyo ya jiweMoyo wa kipumbavu wa kuulinda yanga unautoa wap mkuu😅😅😅
Kwani si kikundi cha wazee kileAcha dharau mkuu.
Mzee utamwingia😂😂😂😂Uvue mimi nikiwepo uone nitavyokupelekea moto
Vuta bange mpira umeishaLeo ni Dube day
Sio mioyo ya jiwe tu wana simba ni watu makini🤣🤣wajifunze kutoka kwa wanasimba wanamioyo ya jiwe