Yule ni level yenu hawezi kuwasumbuaTunaenda kugonga mtu vibaya sana leo
KwahiyoYanga mna point 2 tu na hamjashinda mechi yoyote msitake kujisahaulisha....
Kila kitu kitatumika leoAcha uchawi
Waache wakashinde mechi yao ya mwishoNimewaona Uto mida hii wanaenda Uwanjani.
Kama ambavyo nyie mlikua level yetu tukawachakaza vibaya mno. Anyways ahsante kwa kutambua hiloYule ni level yenu hawezi kuwasumbua
Mi siwezi nikawa level yako eti kwakua ulinifunga.Kama ambavyo nyie mlikua level yetu tukawachakaza vibaya mno. Anyways ahsante kwa kutambua hilo
Dua lako halifui dafuSitaki kuwa muongo. Natamani leo yanga wafungwe tu maana hata wao jana walitamani tufungwe. Sasa mwendo ndio ule ule, afungwe tu. Akishinda bahati yake.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Poa mkuu. Tukutane baada ya dk 90. Kama mtakuwa mmeshinda mkajipongeze wenyewe.Dua lako halifui dafu
Tulia wewe samaki[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Poa mkuu. Tukutane baada ya dk 90. Kama mtakuwa mmeshinda mkajipongeze wenyewe.
Ila ikibidi mpigwe Tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulia wewe samaki
Mm nadhani unatiwa wewe [emoji1]Leo taifa linatiwa aibu
Leo tutautumia kwa mara nyingine tena ule uchawi wetu tulioutumia kwenye ile mechi na simba. Hao watoto watapigwa kama ngoma leo.Leo tutaenda sambamba humu mpaka kieleweke....
Naomba kuwasilisha...πππ
Nakala aione Carleen Tate Mkuu Nifah @Labani og