FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

TANESCO wenyewe wameona ni ujinga kuacha unit zipotee kiboya
 
Nimewaona Uto mida hii wanaenda Uwanjani.
 

Attachments

  • VID_20231220_135712~2.mp4
    7.7 MB
Yanga mna point 2 tu na hamjashinda mechi yoyote msitake kujisahaulisha....
 
KAMA ULIPO HAMNA UMEME KAMA HUKU GONGA LIKE TUWAPE HEKO TANESCO
 
Kama ambavyo nyie mlikua level yetu tukawachakaza vibaya mno. Anyways ahsante kwa kutambua hilo
Mi siwezi nikawa level yako eti kwakua ulinifunga.

Na ndio maana uliniwekea mabango mji mzima maana yake mimi sio wa level yako hivyo ulikuwa inasherehekea kuifunga timu kubwa ambayo sio level zako.

Tulimfunga Horoya goli 7 na stori ikaishia pale pale kwa Mkapa kila mtu akarudi hoeylike nothing happened

Hata mtaani kwenu bado naamini hizo habari wengine hazijawafikia mpaka leo.
 
Sitaki kuwa muongo. Natamani leo yanga wafungwe tu maana hata wao jana walitamani tufungwe. Sasa mwendo ndio ule ule, afungwe tu. Akishinda bahati yake.
Dua lako halifui dafu
 
Dua lako halifui dafu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Poa mkuu. Tukutane baada ya dk 90. Kama mtakuwa mmeshinda mkajipongeze wenyewe.
Ila ikibidi mpigwe Tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Poa mkuu. Tukutane baada ya dk 90. Kama mtakuwa mmeshinda mkajipongeze wenyewe.
Ila ikibidi mpigwe Tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulia wewe samaki
 
FB_IMG_17030721061978630.jpg
 
Back
Top Bottom