kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!....nini tena hiki ?Ubaguzi wao umewatokea puani, yaani mashabiki wote wa Yanga walioingia Bure hakuna hata Moja anayejielewa..angalia hata vaa zao, wengi ni wachafu wachafu wamevaa malapa, wengine yeboyebo zimetoboka, majeans machafu, yaani Kuna nimekutana nap wakienda wananuka uchafu hatari, mswaki hawajapiga...wengine wametembea Kwa miguu kutoka mbezi hata nauli ya daladala hawana!!!
Hovyo tu!!!
Naona ujinga ujinga tu umetamalaki Kwa Wachezaji wa mbele.Kocha wa Yanga hajui kufundisha wachezaji wake jinsi ya kufunga magoli kwenye mechi za kimataifa kwa wanaojielewa. Mtu anataka adribo hadi nyumq ya goli.
Wanacheza kwa tahadhari...Hawa jamaa hawatetereki...hawataki anza funga..
Madeama nipeni raha mapema. Raha nayopata Uto akipigwa ni sawa na kuikojolea
Kweli KabisaSimba ingekuwa ndio inacheza na Madeama ingekuwa mbele goli tatu Hadi hivi Sasa!!!
Wakifika kwenye 18 hawajui wafanyeje. Wakati wanajiuliza mwenzao amekuja kukabia chini qnaondoa hatari. Hivi hadi wafunge inabidi wakose magoli mengi ndio wafunge moja wakati muda hauwasubiri.Naona ujinga ujinga tu umetamalaki Kwa Wachezaji wa mbele.
Mr Accountant (Phd)...unazingua..Madeama nipeni raha mapema. Raha nayopata Uto akipigwa ni sawa na kuikojolea
Ikitulia inapata goli, Yanga wanafunguka sana.Hii mijamaa inasubiri kipindi cha pili
Ayoub anatosha
Ngoja munyooshwe kwanza endeleeni Kucheza hivyo hivyoMarefa wa Afrika bado ni shida.
Mayanga yanacheza kama yameshida