Watu wanaokula makande wanashida sana.. wanakuja kuandika vitu makande yakiw kichwaniDuh!....nini tena hiki ?
huku n kwa mkapaYanga mtakuwa mumewaroga Madeama ,mpira huu sio ule wa kule Ghana
Aliekulazimisha ni Nani? Unakuja kutulalamikia ukuMbona mpira umepoa sana!
Najuta kutoa jero yangu hapa bandaumiza kuyaangalia mautopolo.
Huko Yanga mwenye akili ni Pacome tuu na hakuna goli mtapata maana hamna akilihuku n kwa mkapa