FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Ukweli mchungu huu
Goli alilofunga lilitakiwa kufungwa kwanza na Musonda. Jamaa anavyopiga mipira ya mwisho ni tofauti kabisa na wengine labda Ki. Wanapiga kienyeji ila jamaa anauchinja flani kiasi anaongeza uwezekano wa kufunga kuliko kunyoosha kulenga goli tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…