FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Ukweli mchungu huu
Goli alilofunga lilitakiwa kufungwa kwanza na Musonda. Jamaa anavyopiga mipira ya mwisho ni tofauti kabisa na wengine labda Ki. Wanapiga kienyeji ila jamaa anauchinja flani kiasi anaongeza uwezekano wa kufunga kuliko kunyoosha kulenga goli tu.
 
Back
Top Bottom