FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Wala sikuwa nimekasirika, at all. Tena wakati najibu hiyo nilikuwa nacheka sana.

Sikiliza b... Binafsi huwa napenda nikiwa na cha kunifurahisha basi nikifurahie kwa nafasi, ukifika wakati wa majonzi nitahuzunika ila sio kwa kujinyima kufurahi wakati huo kwa kuwazia yajayo, lah!

Lakini mechi nyingine ni mpaka February mwishoni ujue? Muda upo wa kutosha kwa kufurahi na kufanya maandalizi.
Cheers
Endeleeni kufurahi, hizi za ligi muanze kutoa suluhu
 
Endeleeni kufurahi, hizi za ligi muanze kutoa suluhu
Huku kwenye ligi ni vibonde wetu tunakanyaga tu. Unakumbuka juzi nilikwambia ukiwa na mtu kama Pacome huna haja ya maandalizi?
Uliona balaa lake wakati anasepa na kijiji?
 
Huku kwenye ligi ni vibonde wetu tunakanyaga tu. Unakumbuka juzi nilikwambia ukiwa na mtu kama Pacome huna haja ya maandalizi?
Uliona balaa lake wakati anasepa na kijiji?
Jumamosi mko na Tabora United a.k.a Kitayose! hesabuni draw ya kwanza!
mkakati wao ndio huo!

Mtapigwa pin la maana, system yenu ishafahamika
 
Jumamosi mko na Tabora United a.k.a Kitayose! hesabuni draw ya kwanza!
mkakati wao ndio huo!

Mtapigwa pin la maana, system yenu ishafahamika
Sio mbali, na uzuri nitakuwa na muda pia.
Tukutane hapa, usikimbie tu.
 
Duuhh... wewe hata kwenye maisha ya kawaida unaonekana una roho ya korosho sana. Badilika, mwenzako akifanya kizuri pongeza tu.
Kazi Gani nzuri? Hao Madeama kwenye ligi Yao wanapumulia mashine, hawana tofauti sana na wale wasouth waliocheza na yanga shirikisho wakashuka daraja kwao!
Madeama katika mechi zao zaidi ya 6 za mwisho waliocheza ugenini hawajahi kushinda ugenini!
Hao Madeama hata wangekuja kucheza na timu za daraja la kwanza huko wangefungwa tu!
Wenye roho za korosho ni Kama wewe usiyependa kuambiwa ukweli!
Yanga ikiwafunga wale Waalgeria naweza kuwasifia!!
 
Kazi Gani nzuri? Hao Madeama kwenye ligi Yao wanapumulia mashine, hawana tofauti sana na wale wasouth waliocheza na yanga shirikisho wakashuka daraja kwao!
Madeama katika mechi zao zaidi ya 6 za mwisho waliocheza ugenini hawajahi kushinda ugenini!
Hao Madeama hata wangekuja kucheza na timu za daraja la kwanza huko wangefungwa tu!
Wenye roho za korosho ni Kama wewe usiyependa kuambiwa ukweli!
Yanga ikiwafunga wale Waalgeria naweza kuwasifia!!
Kama ni wabovu waliwafangaje CRB?
 
Kazi Gani nzuri? Hao Madeama kwenye ligi Yao wanapumulia mashine, hawana tofauti sana na wale wasouth waliocheza na yanga shirikisho wakashuka daraja kwao!
Madeama katika mechi zao zaidi ya 6 za mwisho waliocheza ugenini hawajahi kushinda ugenini!
Hao Madeama hata wangekuja kucheza na timu za daraja la kwanza huko wangefungwa tu!
Wenye roho za korosho ni Kama wewe usiyependa kuambiwa ukweli!
Yanga ikiwafunga wale Waalgeria naweza kuwasifia!!
Vipi mchambuzi kuhusu rekodi yao ya nyumbani? Imekuaje wakamfunga Belouizdad na kushindwa kupata alama tatu mbele ya Yanga?
 
Kazi Gani nzuri? Hao Madeama kwenye ligi Yao wanapumulia mashine, hawana tofauti sana na wale wasouth waliocheza na yanga shirikisho wakashuka daraja kwao!
Madeama katika mechi zao zaidi ya 6 za mwisho waliocheza ugenini hawajahi kushinda ugenini!
Hao Madeama hata wangekuja kucheza na timu za daraja la kwanza huko wangefungwa tu!
Wenye roho za korosho ni Kama wewe usiyependa kuambiwa ukweli!
Yanga ikiwafunga wale Waalgeria naweza kuwasifia!!
Nadhani ligi ya Ghana itakuwa na ushindani sana ndo maana Medeama anae legalega kwao kafungwa na Yanga 3-0 wakati Simba anaefanya vizuri tpl alifungwa goli 5-1
 
Back
Top Bottom