Imagine unakutana na the brazilian, hao jamaa hawana cha nyumbani wala ugenini, lazima ushikilie bomba mwanzo mwishoo taarifa zaidi anazo pyramid😍😍Duuh km ndo mamelodi bas simba tutaishia hapo robo, [emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine unakutana na the brazilian, hao jamaa hawana cha nyumbani wala ugenini, lazima ushikilie bomba mwanzo mwishoo taarifa zaidi anazo pyramid😍😍Duuh km ndo mamelodi bas simba tutaishia hapo robo, [emoji24][emoji24]
Hawa jamaa huwa wanajinasibu kuwa na Team bora kabisa ya Graphics.Hahaha
Niliikataa wapii? Hebu sema kweliii?Ningeituma kwenye birthday yako ila uliikataa
Hebu relaaaaaaxxxx, leo mnashinda.Naona ndugu zetu wa upande wa pili mmekuja kutuimbia taarabu hapa baadae mje Tena [emoji1787] kuimba izo taarabu zenu naona mmejaa hapa kutuombea mabaya baadae mje msipo kuja risiti zenu zipo nyie endeleeeni kuimba baadae mtapakimbia hapa
Washinde njaaHebu relaaaaaaxxxx, leo mnashinda.
Una wasi wasi gani kwan? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wamebadilisha? Mbna kule Google jana ilinambia saa 1 usiku.Ni saa 10
Wanashinda wapi?Hebu relaaaaaaxxxx, leo mnashinda.
Una wasi wasi gani kwan? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mayelee jana haamini ksbisaa.Imagine unakutana na the brazilian, hao jamaa hawana cha nyumbani wala ugenini, lazima ushikilie bomba mwanzo mwishoo taarifa zaidi anazo pyramid[emoji7][emoji7]
Sio hivyo jamani, tuwaombee mema.Washinde njaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanashinda wapi?
Acha hii mambo
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba Gamond atafurushwaa? UwiiiiihUpepo wa benchika huu GAMOND akipoteza hii mechi ajiandae kisaikolojia .. jamani benchika dah
Wamekudanganya haoWamebadilisha? Mbna kule Google jana ilinambia saa 1 usiku.
Hukuona missed callsNiliikataa wapii? Hebu sema kweliii?
[emoji23][emoji23][emoji23] ntumie bhana.
Mechi ni saa 1 Usiku acha ubishi.Ni saa 10
Bodi Yao si imebadilishwa lakini wamekata umeme hii nchi imelaaniwa
Weka ushahidiMechi ni saa 1 Usiku acha ubishi.
Kwa taarifa yako Mechi ya Yanga itaahirishwa. Mpaka Ahly acheze Beduilazad ndipo mcheze na Medeama, usijisumbue leo hakuna Mechi Mkuu, soon CAF watatoa tamko.Weka ushahidi