FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Naunga mkono hoja
Kuna mechi moja ilikuwa ni ligi kuu na kumbuka alikuwa hajaaminika kwenye kikosi kwa maana ya first eleven lakini alivyopata nafasi , nikagundua ni bonge la mchezaji,

Huyu pale Man u EPL ana namba yake
 
Back
Top Bottom