Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangaa na wewe [emoji1787][emoji1787]
hapana uwezo wetu huwa unaanzia moja na kuishia 5Ndio uwezo wenu umeishia hapo mzee
Hawana mishahara mkuu🤪🤪msingewafunga jana!Hahaha mkuu yamekuwa hayo tena
Mchumba jambo jambo?Duuh km ndo mamelodi bas simba tutaishia hapo robo, [emoji24][emoji24]
Baada ya jana kuangalia mechi ya simba ikiipa Heshima Taifa leo ni zamu ya Yanga kuiaibisha Nchi
Yaani walikuwa waumalize huu mchezo ndani ya hizi dakika 45 za kwanza. Wamenikera mpaka basi. Utafikiri hawapo uwanjani. Kwa mchezaji makini hawezi akakosa magoli ya wazi kiasi kile.Lack of seriousness...
Mechi ya kawaida sanaMods hii leo sio Live....hahaha kisa wameingia bure?
Uzi hauna hashi wacheni keleleModes wazamu ni kolo
Karibu nyumbani mkuranga mpaka mwezi January nitakuwa natafuna mahindi ya kuchoma.Ww umeshavuna tayari?