Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa waanze kutupia.Mwamnyeto kawapa utulivu
Bwana nothing ila ana mshedede ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bwana nothing kaotea
Ongezeni nyingine 3...😂😂😂Ahueni sasa presha itashuka. Kwa hawa vibonde, kurudisha goli mbili ni mtihani mgumu kwao.
Mi mwenyewe naangalia kupitia jf.Kipindi kama hiki kampuni za mabasi zisizo na LIVE club bingwa nazikimbia, sasa hapa naangalia kupitia JF, yaani nasoma Diara katuvusha sijui kawavushaje, hatari hii..!
Umenyooshwa tayari mkuu?🤣🤣Ngoja wawanyooshe Sasa
Sio dronedrake kweli ?Musondaa
Famba sana uyuAziz Ki anatukaba sana.