Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Huku hakuna kibonde ndivyo tulivyokubaliana mkuu, sasa mmebadili Gia anganiVibondee bana haina mjadala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku hakuna kibonde ndivyo tulivyokubaliana mkuu, sasa mmebadili Gia anganiVibondee bana haina mjadala
Bado tumeshibaanjooo tuanze upyaaa nyama choma
Vibonde kuliko wale walio-concede 5 kama KMC?Sasa hao vibonde ndo wa kutuambia kweli?
Mi nimeitafuta kwenye lamani ya jedhi yanga kwa kweli thijawaonaTimu hata kwny ramani haipo
Hapana toka mwanzo tuliwaambia hawa mkishindwa kuwamenya ndo basi tena..toka first tym mmepangwa nao...na nyie pia mlijipangia kupata point 6 kwao ila mmeambulia 4..Huku hakuna kibonde ndivyo tulivyokubaliana mkuu, sasa mmebadili Gia angani
na ERoniUlijua wewe na nani