EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
Umeshiba makande wew [emoji1787]Bado tumeshibaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshiba makande wew [emoji1787]Bado tumeshibaa
Mtani mtaniHapana toka mwanzo tuliwaambia hawa mkishindwa kuwamenya ndo basi tena..toka first tym mmepangwa nao...na nyie pia mlijipangia kupata point 6 kwao ila mmeambulia 4..
Mpaka msemee...hapa badoo😂Hii game tulijua tu uto mnashinda, haina hata msisimko
Tumfananishe medeama na nani mkuu, lipuli fc?🤣Niko napitia comments nashangaa kuona watu wanafananisha Wydad na Medeama hivi mko serious au mnatania
WanataniaNiko napitia comments nashangaa kuona watu wanafananisha Wydad na Medeama hivi mko serious au mnatania
Kibonde hua anapigwa bao tanoKwahyo Uto leo kajipigia Kibonde anajisifu kweli...
Dah leo kweli Mgumba kapata mimba Nyumba imejaa mate sasa suburini Faini ya kuwanyima uwanja medeama
Mbona mlijipigia li maiti lenu jana hatukusema?Kwahyo Uto leo kajipigia Kibonde anajisifu kweli...
Dah leo kweli Mgumba kapata mimba Nyumba imejaa mate sasa suburini Faini ya kuwanyima uwanja medeama
Kwa jwaneng galaxy mmepata points ngapi?Hapana toka mwanzo tuliwaambia hawa mkishindwa kuwamenya ndo basi tena..toka first tym mmepangwa nao...na nyie pia mlijipangia kupata point 6 kwao ila mmeambulia 4..
Pale kwa ule ulozi mlomwaga...njooni leo basi turudie mechi muone..Kuna watu wanataka kuongea kwamba tumewaokota,ila wakikumbuka kilicho wakuta wanakuwa wapole.
Pole mkuuDaah Tanesco na maumbwaa sana, hongereni tesm langu
Sana yani, kibaya zaidi wao walishinda mbili Sisi tumeongeza Tatu, wanaumia mioyoni mwaoSasa Akina nanii mbona mnaumia sana sisi kushinda
Hakuna mchezaji mwenye hilo jina AxizAxiz ki atoke
Kwani Jwaneng ni vibonde...Kwa jwaneng galaxy mmepata points ngapi?