FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Hapana toka mwanzo tuliwaambia hawa mkishindwa kuwamenya ndo basi tena..toka first tym mmepangwa nao...na nyie pia mlijipangia kupata point 6 kwao ila mmeambulia 4..
Mtani mtani
 
20231220_173853.jpg
 
Kwahyo Uto leo kajipigia Kibonde anajisifu kweli...

Dah leo kweli Mgumba kapata mimba Nyumba imejaa mate sasa suburini Faini ya kuwanyima uwanja medeama
Mbona mlijipigia li maiti lenu jana hatukusema?
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Hapana toka mwanzo tuliwaambia hawa mkishindwa kuwamenya ndo basi tena..toka first tym mmepangwa nao...na nyie pia mlijipangia kupata point 6 kwao ila mmeambulia 4..
Kwa jwaneng galaxy mmepata points ngapi?
 
Hatubahatishi mpira unapigiwa na kugongwa ungongwa mabao ya kutosha.

Kama utaona imekuuma leta timu yako.
 
Back
Top Bottom