Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Asante mkuu inachosha sanaPole mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu inachosha sanaPole mkuu
Yaani Wana hasiraaa nadhani kile kipigo bado kinawaumaSana yani, kibaya zaidi wao walishinda mbili Sisi tumeongeza Tatu, wanaumia mioyoni mwao
KabisaaOgopa mashangingi ya sinza madukani
Niko napitia comments nashangaa kuona watu wanafananisha Wydad na Medeama hivi mko serious au mnatania
adriz kuna mahala kauliza swali zur sana kwamba "si tulishakubaliana kwamba vibonde woote wako shirikisho, mbona makolo mnatugeuka"?Wazee wa mochwari wanafurahia..
Mbona tokea Novemba tano tunajipigia vibonde au mmesahau juzi.......Kwahyo Uto leo kajipigia Kibonde anajisifu kweli...
Dah leo kweli Mgumba kapata mimba Nyumba imejaa mate sasa suburini Faini ya kuwanyima uwanja medeama
kuna mchovu kumfikia waydadSasa kama unacheza na wachovu unategemea nini?
Nasema turudie mechiiii ...kuanzia Manula ilikua fraud...turudieni mechi hamna ubavu wa kumfunga Simba goli 5 nyieUlikula 5 mkaanza poteana wenyewe kwenda TAKUKURU [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli wewe sio mgangaMimi sio mganga ila Yanga badae atasare au atashinda goli moja tuu.
Alafu nimechukia kabisa hapa
😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑
Usilete ukatoliki hapa.Mtani nimekupenda bure😂😂
Mnyamaaaaaa......Hee hivi ww huwa ni Yang'aaa au Simbaaa... au kotekote...natania mkuu
Wewe unaijua Wydad?kuna mchovu kumfikia waydad
Kile kipigo kuisha sio Leo wala kesho mkuu, na ndiyo maana wanaumia mara tatu Tatu hahahaha 🤣🤣🤣Yaani Wana hasiraaa nadhani kile kipigo bado kinawauma
Mtatoboa mkiamua mtani 🤣 🤣 🤣Hahahaha 🤣🤣🤣 mtani naomba useme hapa kama tutatoboa robo fainali au tutaishia hapa ?
Nafikir haya si ya kwako kuamuaWe unafikiri kuna mechi nyingine mtashinda baada ya hapa