FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

ha ha ha haa..
mkuu sherehe yenu imeishia pale mlipopewa vimaokoto vya mama
sasa hivi sherehe kubwa ni ushindi wa wananchi!
Haina mvuto mkuu nakwambia kabisa...huyo Mediama alishazungumzwa ndo pekee Yanga watapata point kiulani
 
Ila na kukumbusha Makirikiri walipindua mbili bila kwa Mkapa,ukala tatu moja na wanakuja tena hapo kwa Mkapa.
CR Belouzidad ni wazito labda kwa home advantage mjitahidi sare

Baada ya hapo ni siuuuu
 
Nilikaa na mizee ya utopolo kibanda umiza inajichekesha tu kama mipunguani nikaamua nisepe tu
 
Sahizi pasi zote wampage tu makudubela[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hakuna kitu kama hichoo...tubet walai Mechi irudiweee
Haya mie nabet simba akimfunga yanga nitacha story za kugegeda a hapa jf lakini simba akifungwa na yanga wee itabidi unipee mbususu ili kibamia changu kienjoy
 
Back
Top Bottom