Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka gani? Kikosi kilicho cheza mwaka huo ndio hiki.Mgumba kapata mimba mate mji mzima, hukupigwa 5 bila na Simba ?
Una ubavu huo?Msyuuuu...mbona unanichagulia betting yangu??
Yanga ikimfunga Simba naacha ushabiki..najua hii utaona haina impact kwenu ila kwangu kuacha kushabikia timu yangu itakua maumivu makali mnoo..nakuahidi...
Kwanza kumkata ngebe😁Sasa sherehe za kufunga goli 3 moja kumzidi Simba za nini?
Hii comment yangu ilikuwa dakika ya pili ya Mchezo.Yanga leo refa yupo upande wenu. Mshindwe tu nyinyi hapo.
😃😃Ule ulikuwa ni uzembe sana na sipendi kukumbushwa
Irudiweee mlimpiga nani nyie walozi? Hivi unaona ile mechi ilikua kawaida ee..hahahah yani zile video za ushirikina mnajifanya hamzioni eee...Unahamu ya Kupigwa tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaa kitako mama...😜😜Ila ushindi ulikua jana banaaaa...nchi ilizizima...
Hii Gwambina ya Ghana imekuja tuu kuosha macho Tanzania
Mwambie kati ya magoli 5 ,3 yalikuwa ya penaltyMwaka gani? Kikosi kilicho cheza mwaka huo ndio hiki.
Ongeza chumvi na pilipili huenda ikanoga kidogo,Mechi ya Leo ni zero tuu Haina radha
Nakusalimia.rafiki yangu...Unaona wivu tu
Kumkata ngebe nani?Kwanza kumkata ngebe😁
Kila la heri mtaniUtashangaa tutakapo vuna za Al ahly na CZ bulouzidad
Yani ni Bocco aliyefubaa....hivyo kweli.Nani alimsajili hafiz😁?
😂 Nami nakusalimia piaNakusalimia.rafiki yangu...
Yaan zinauma mpaka leo hamzisahauIrudiweee mlimpiga nani nyie walozi? Hivi unaona ile mechi ilikua kawaida ee..hahahah yani zile video za ushirikina mnajifanya hamzioni eee...
Zitarudiwa kama hizi
View attachment 2848279
Upi sasa? Ndo nitaumia ila nitafanyaje ndo nishabet..ila kwa sbb nina uhakika Uto hatamfunga mnyama...Una ubavu huo?