Anhaa kumbe ni huyu rastaMayeleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee [emoji460]
je unadhani atazichezea hizo nafasi tarehe 16??Anhaa kumbe ni huyu rasta
Wakati naondoka nilimuacha akiwa amepata nafasi 7 za wazi
Na takwomu zinasema kwenye nafasi 10 lazima akupige goli 1
So kumbe nilivyotoka, hapo katikati kulikuwa kuna nafasi zingine 3 ali miss.
Well done hii ndio aina ya striker ambaye anastahili kucheza kwenye Club hii kutokana na hadhi ya Club.
Mayeleeeeeeeee
Baleke alifunga mawili tena makali na hakutaka kuboa watu kuwakusanya kushangiliaToka uvunguni mkurugenzi, ili uje umuone Mayele akitetema.
Kama uwezo wako wa kuelewa umeishia hapo sina cha kukusaidia".....Yanga ila huwa nasita kusema bahasha......"
Kwa hiyo ww unasita kusema kwenye mechi za Yanga vipi yako juzi wachezaji wawili wamecontrol kwa mkono.
Sasa kwa nini HAUKUHISI juzi kwamba mmetoa bahasha baada wachezaji wawili control mpira mara mbili kwa mkono au kwakuwa ni Kolo FC.
Tarehe 16 kuna nini?je unadhani atazichezea hizo nafasi tarehe 16??
Na ndio top scorer wa ligi ya nchi hii, maanake wachukue washambuliaji wote wa Simba + Azam + Namungo+ Ihefu +......Anhaa kumbe ni huyu rasta
Wakati naondoka nilimuacha akiwa amepata nafasi 7 za wazi
Na takwomu zinasema kwenye nafasi 10 lazima akupige goli 1
So kumbe nilivyotoka, hapo katikati kulikuwa kuna nafasi zingine 3 ali miss.
Well done hii ndio aina ya striker ambaye anastahili kucheza kwenye Club hii kutokana na hadhi ya Club.
Mayeleeeeeeeee
Nipe wewe ukweli basi huenda nikapona Mama [emoji23]Sio kweli
Wakumbushe baba! Wakumbushe hao! Maana hawachelewi kusema wachezaji wa Kagera Sugar wamepokea bahasha.
Hususani kwenye hii, wanajidai kama ni miaka mingi iliyopita wakati ni juzi juzi tu hapo
Duuuh [emoji15][emoji849]Kweli kabisa mtani..ila leo mfeli at least point zibaki 5...
Mkuu magoli ya baleke hayana impact Kwa Simba, ndio maana huwaoni wakijumuika kushangilia, yaani hata aifungie Simba goli ngapi haziwapeleki Simba kuchukua ndooBaleke alifunga mawili tena makali na hakutaka kuboa watu kuwakusanya kushangilia
Topu skoa wenu ana zari kila mechi anacheza, majeraha ya wachezaji wetu ndio yanayompa advantage na kumfanya awe mbali kuwazidi wachezaji wetu.Na ndio top scorer wa ligi ya nchi hii, maanake wachukue washambuliaji wote wa Simba + Azam + Namungo+ Ihefu +......
Mayele ndio kinara wao
Kwa sasa habari ya mjini ni Mayele. Anapiga chenga mpaka golikipa.Baleke alifunga mawili tena makali na hakutaka kuboa watu kuwakusanya kushangilia
Hawajumuiki kushangilia kwasababu sio kitu cha kustua, kufunga hiyo ndio role yake sa unaposhangilia sana mpaka kutikisa maziwa ni kama umebahatisha.Mkuu magoli ya baleke hayana impact Kwa Simba, ndio maana huwaoni wakijumuika kushangilia, yaani hata aifungie Simba goli ngapi haziwapeleki Simba kuchukua ndoo
Yaah wewe jifunie nne zako ila mimi ndio nimegugonga mara tatu mfululizo na jumapili tena, ushakuwa kama mwembe wa uwani na tungulia tu.Hususani kwenye hii, wanajidai kama ni miaka mingi iliyopita wakati ni juzi juzi tu hapo
View attachment 2584680
Mayele ni top scorer wa Nbc premier league, nyinyi mpo ligi gani?Topu skoa wenu ana zari kila mechi anacheza, majeraha ya wachezaji wetu ndio yanayompa advantage na kumfanya awe mbali kuwazidi wachezaji wetu.