FT: Young Africans SC 5-0 Kagera Sugar | Ligi Kuu Bara | Azam Complex | 11-04-2023

FT: Young Africans SC 5-0 Kagera Sugar | Ligi Kuu Bara | Azam Complex | 11-04-2023

Mayeleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee [emoji460]
Anhaa kumbe ni huyu rasta

Wakati naondoka nilimuacha akiwa amepata nafasi 7 za wazi

Na takwomu zinasema kwenye nafasi 10 lazima akupige goli 1

So kumbe nilivyotoka, hapo katikati kulikuwa kuna nafasi zingine 3 ali miss.

Well done hii ndio aina ya striker ambaye anastahili kucheza kwenye Club hii kutokana na hadhi ya Club.

Mayeleeeeeeeee
 
Anhaa kumbe ni huyu rasta

Wakati naondoka nilimuacha akiwa amepata nafasi 7 za wazi

Na takwomu zinasema kwenye nafasi 10 lazima akupige goli 1

So kumbe nilivyotoka, hapo katikati kulikuwa kuna nafasi zingine 3 ali miss.

Well done hii ndio aina ya striker ambaye anastahili kucheza kwenye Club hii kutokana na hadhi ya Club.

Mayeleeeeeeeee
je unadhani atazichezea hizo nafasi tarehe 16??
 
".....Yanga ila huwa nasita kusema bahasha......"

Kwa hiyo ww unasita kusema kwenye mechi za Yanga vipi yako juzi wachezaji wawili wamecontrol kwa mkono.

Sasa kwa nini HAUKUHISI juzi kwamba mmetoa bahasha baada wachezaji wawili control mpira mara mbili kwa mkono au kwakuwa ni Kolo FC.
Kama uwezo wako wa kuelewa umeishia hapo sina cha kukusaidia
 
Kuna watu washaanza kusahau.
Screenshot_20230411_164322_Photos.jpg

Mayele na Kijiji chake.
 
Anhaa kumbe ni huyu rasta

Wakati naondoka nilimuacha akiwa amepata nafasi 7 za wazi

Na takwomu zinasema kwenye nafasi 10 lazima akupige goli 1

So kumbe nilivyotoka, hapo katikati kulikuwa kuna nafasi zingine 3 ali miss.

Well done hii ndio aina ya striker ambaye anastahili kucheza kwenye Club hii kutokana na hadhi ya Club.

Mayeleeeeeeeee
Na ndio top scorer wa ligi ya nchi hii, maanake wachukue washambuliaji wote wa Simba + Azam + Namungo+ Ihefu +......
Mayele ndio kinara wao
 
Na ndio top scorer wa ligi ya nchi hii, maanake wachukue washambuliaji wote wa Simba + Azam + Namungo+ Ihefu +......
Mayele ndio kinara wao
Topu skoa wenu ana zari kila mechi anacheza, majeraha ya wachezaji wetu ndio yanayompa advantage na kumfanya awe mbali kuwazidi wachezaji wetu.
 
Mkuu magoli ya baleke hayana impact Kwa Simba, ndio maana huwaoni wakijumuika kushangilia, yaani hata aifungie Simba goli ngapi haziwapeleki Simba kuchukua ndoo
Hawajumuiki kushangilia kwasababu sio kitu cha kustua, kufunga hiyo ndio role yake sa unaposhangilia sana mpaka kutikisa maziwa ni kama umebahatisha.
 
Back
Top Bottom