Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Anhaa kumbe ni huyu rastaMayeleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee [emoji460]
Wakati naondoka nilimuacha akiwa amepata nafasi 7 za wazi
Na takwomu zinasema kwenye nafasi 10 lazima akupige goli 1
So kumbe nilivyotoka, hapo katikati kulikuwa kuna nafasi zingine 3 ali miss.
Well done hii ndio aina ya striker ambaye anastahili kucheza kwenye Club hii kutokana na hadhi ya Club.
Mayeleeeeeeeee