black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
Eee bwanaaaa eeee, nasemajeeeeee [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YesYa pili
Sasa nijutie nini.kwa hivyo vi goli vyake?.Utajutia hii kauli yako.
Kakusikia mwenyewe vip una lingine tumwambie.Kwahyo Azi yy kufunga mpka faulo?
Unaandika huku unatetemekaIle team ya wauza sabuni tunaitaka jumamosi waje 12
Aisee yani niliopotoka tu kumbe wahuni wakakutana na zariAtleast hapa umeweka ushabiki pembeni
Ongeza sauti 🗣️Sare nimekaa pale
Mpaka msemweKakusikia mwenyewe vip una lingine tumwambie.
Umeliona hilo goli la pili? Golikipa wenu Manula akiona magoli ya aina hiyo, mwili mzima unatetemeka.Sasa nijutie nini.kwa hivyo vi goli vyake?.
😅😅😅😅😅😆😆😆😆Mpaka msemwe
Sawa nimekusoma chawa wa simbaAisee yani niliootoka tu wahuni wakakutana na zari
Huyo ni sio tu shabiki ni chawa wa Uto lakini ukiona ka doubt ujue kuna namna
Manula akiliona hili goli la aziz ki atajiponda na nyundo kwenye kidole ili akwepe derby...Mpaka msemwe
Uko sahihi kabisa. Maana tangu msimu unaanza, tayari Bingwa alikuwa anajulikana.Ligi ya Tanzania imepangwa hii kabisa kabisa.
Kuna game fixtures
Tusemwembe vip kwani ww juzi ulipata goli dk ya ngapi, japo la kwanza wachezaji wako wameshika mara mbili refa akauchuna.Mpaka msemwe