singanojr
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 1,974
- 10,361
Wewe tulia trhe 16 ni mwendo wa kula Chuma hicho[emoji28]Vyura bwana baada ya kufunga ndo wameanzq kuruka ruka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tulia trhe 16 ni mwendo wa kula Chuma hicho[emoji28]Vyura bwana baada ya kufunga ndo wameanzq kuruka ruka
Tuliza moyo mama. Kunywa maji mengi. Safari ya maumivu bado inaendelea.Vyura bwana baada ya kufunga ndo wameanzq kuruka ruka
Oya Kagera leo wamepiga long passes zenye accuracy kubwa sana.Makocha wa hizi timu ndogo mi wanishangaza sana. Ukicheza na Simba au Yanga haupaswi kucheza standard football ya short passes, inatakiwa ucheze pasi ndefu na kujaribu ukifika ndani ya 18.
Duh! Tujitaidini kuwa na Subira jamanii.Yani Azi bila kupewa penalt au faulo hafungi
Mateso umeyataka mwenyeweBado namtafakari huyu nephew wake Ramadhani Kayokwa
Soma uelewe kilichoandikwa acha mihemkoSasa bahasha imefuata nini?
Nilitabiri Geita kufungwa ila sikuweza kubashiri nafasi ya Refa kuwafanya wafungweMateso umeyataka mwenyewe
".....Yanga ila huwa nasita kusema bahasha......"Soma uelewe kilichoandikwa acha mihemko
MayeleeeeeeeVipi huko naskia kelele
Siwezi ogopa team kutwa kutangaza matangazo ya mhindiUnaandika huku unatetemeka
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Huyu ndio Jini Sasa[emoji83][emoji83][emoji83] usidanganyike na yule Jini wa mchongo[emoji38][emoji38]
Toka uvunguni mkurugenzi, ili uje umuone Mayele akitetema.Vipi huko naskia kelele