Yaani game inavyoenda mpaka Sasa Hawa Ethiopians ndio wameyafanyia kazi makosa yao waliyoyafanya kwenye mechi ya kwanza kuliko hata Yanga, leo sioni kabisa hawa jamaa wakiacha spaces kwenye nusu yao na kuwaruhusu yanga watengeneze nafasi nyingi nyingi kama ilivyokuwa kwenye mechi ya kwanza... Na tusishangae leo tukalala na surprise ya mwaka hapo baadaeYanga kama tupo ugenini ohhh
Aliyepeleka mechi zenji alaaniwe
Uwanja haujajaa mkuu
Hii mido ya leo haina ubunifu aiseeYaani game inavyoenda mpaka Sasa Hawa Ethiopians ndio wameyafanyia kazi makosa yao waliyoyafanya kwenye mechi ya kwanza kuliko hata Yanga, leo sioni kabisa hawa jamaa wakiacha spaces kwenye nusu yao na kuwaruhusu yanga watengeneze nafasi nyingi nyingi kama ilivyokuwa kwenye mechi ya kwanza... Na tusishangae leo tukalala na surprise ya mwaka hapo baadae
Yaani game inavyoenda mpaka Sasa Hawa Ethiopians ndio wameyafanyia kazi makosa yao waliyoyafanya kwenye mechi ya kwanza kuliko hata Yanga, leo sioni kabisa hawa jamaa wakiacha spaces kwenye nusu yao na kuwaruhusu yanga watengeneze nafasi nyingi nyingi kama ilivyokuwa kwenye mechi ya kwanza... Na tusishangae leo tukalala na surprise ya mwaka hapo baadae
Timu ya daraja la CBE inatakiwa ilambishwe magoli mengi sana ili mwakani wasitamani kuja CCL.Shida sio kuujaza mkuu shida ni group stage
Mautopolo yamezoea dezo mnoo, wanapenda kuingia uwanjani bure tu.Ee , hata hicho kiwanja wameshindwa kukijaza?
Yaaani Yanga wamefika golini zaidi ya mara 5 ilihali CBE wamefika mara moja tena kwa faulo bado unaona Yanga haitengenezi nafasi?Yaani game inavyoenda mpaka Sasa Hawa Ethiopians ndio wameyafanyia kazi makosa yao waliyoyafanya kwenye mechi ya kwanza kuliko hata Yanga, leo sioni kabisa hawa jamaa wakiacha spaces kwenye nusu yao na kuwaruhusu yanga watengeneze nafasi nyingi nyingi kama ilivyokuwa kwenye mechi ya kwanza... Na tusishangae leo tukalala na surprise ya mwaka hapo baadae
Timu ya daraja la CBE inatakiwa ilambishwe magoli mengi sana ili mwakani wasitamani kuja CCL.
Bado Yanga hawajaonesha mpira ambao tumezoea kuuona
Kweli kabisa, hawa jamaa mpaka sasa wameiprove sana, lakini shida iko pale pale, wakifunguka au wakichoka tu mautopolo yatatoboa nyavu balaa.Yaani game inavyoenda mpaka Sasa Hawa Ethiopians ndio wameyafanyia kazi makosa yao waliyoyafanya kwenye mechi ya kwanza kuliko hata Yanga, leo sioni kabisa hawa jamaa wakiacha spaces kwenye nusu yao na kuwaruhusu yanga watengeneze nafasi nyingi nyingi kama ilivyokuwa kwenye mechi ya kwanza... Na tusishangae leo tukalala na surprise ya mwaka hapo baadae
Kuchota 700M + kwa mwaka mmoja tu lazima urudishe fadhilaHivi chama bado ni Mzeee ?
Bado bila bila, utopolo ametawala mchezo lakini anapelekewa moto wa chini chini ile mbaya.Ngapi ngapi huko?
Simba ilikua inamzeesha.....alikosa motivesheni hukoHivi chama bado ni Mzeee ?
Nafasi wanaachia sana tu ni accuracy ya Uto ya kufunga ndo hakuna.Kweli kabisa, hawa jamaa mpaka sasa wameiprove sana, lakini shida iko pale pale, wakifunguka au wakichoka tu mautopolo yatatoboa nyavu balaa.
UongoSimba ilikua inamzeesha.....alikosa motivesheni huko
Sawa koloBado bila bila, utopolo ametawala mchezo lakini anapelekewa moto wa chini chini ile mbaya.