Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Na wewe upo Zanzibar?Tukutane uwanjani baadae ๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe upo Zanzibar?Tukutane uwanjani baadae ๐๐
Daah! Roho ya timu hiyo imegaragazwa. ๐๐๐
Umeamkaje Mtani? ๐๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
You made my day.Naitakia timu yangu ya Yanga ushindi mnono wa goli 5 na kuendelea mbele
Wewe hauniwezi kaa kimya njoo uwone navyokufanyaLeta timu ambayo haijawahi kula mkono, tena kuna 5 bila
๐๐๐Daah! Roho ya timu hiyo imegaragazwa. ๐๐๐
Ndio ndio ๐Na wewe upo Zanzibar?
Yaani huu uzi nilikuwa nautafuta naona watu wabaya sana hata JF admin walikuwa wameuficha maana jana nilikuwa busy sikufuatilia. Safi sana wananchiView attachment 3101654
View attachment 3102061
Match Day
CAF Champion League
Young Africans SC VS CBE SA
2nd Preliminary round
2nd Leg
Stadium: New Amani Stadium Zanzibar
Date: 21-09-204
Time 8:30pm EAT
Soma Pia: FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024
#Daimambelenyumamwiko#
Kikosi cha Yanga Kinachoanza Leo.
View attachment 3102278
Updates...
Mpira umeanza kwa kasi kidogo
Yanga wameanza kwa kulishambulia lango la CBE
Wamekosa goli la wazi hapa.
Chama anapaisha mpira
DK 6'
CBE wanapata free kick nje kidogo ya 18 ya Yanga.
Inapigwa haileti madhara yoyote kwa Yanga
View attachment 3102487
Sawa maana najua nikibisha utaleta bango la 5g.Timu nzima yeye ndo alikua anabidii, lazma ari ishuke....ila huku kila mtu yupo moto hata ari imepanda
SitakiUmeamkaje Mtani? ๐
Tuna "off ya mama" tulale tu.....Hivi Wananchi tunaamka saa ngapi eti? ๐
Msiba tunasafirisha kwa gaddafi.Hahahaa. Lol.
Happ saa kumi bado haijafika. Lol ๐๐
Kanza nyie wachawi mnaturoga tusipiteHahahaa. Lol.
Happ saa kumi bado haijafika. Lol ๐๐
Kuna boti zinaondoka baada ya saa moja na nusu lijalo tunasepa nazo. Kwanini tulale
Pacome ni engine ya Yanga kukosa goli ni kitu cha kawaida..Ni Musonda, ila Pacome umemuonea ni msaada kwa timu kwanzia kwenye kukaba hadi kutengeneza mashambulizi
Huu ni ujinga, Yanga wanatakiwa wawe wanaanzishwa makundi ddirect
Kwao ilikua 2-2Yanga imenyanyasa Timu za ethiopia vya kutosha , mwaka ule wa kina edibily Lunyamila waliipiga coffee ya Ethiopia 6-2 kulekule kwao Ethiopia