Na wewe upo Zanzibar?Tukutane uwanjani baadae ππ
Daah! Roho ya timu hiyo imegaragazwa. πππ
Umeamkaje Mtani? ππΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈ
You made my day.Naitakia timu yangu ya Yanga ushindi mnono wa goli 5 na kuendelea mbele
Wewe hauniwezi kaa kimya njoo uwone navyokufanyaLeta timu ambayo haijawahi kula mkono, tena kuna 5 bila
πππDaah! Roho ya timu hiyo imegaragazwa. πππ
Ndio ndio πNa wewe upo Zanzibar?
Yaani huu uzi nilikuwa nautafuta naona watu wabaya sana hata JF admin walikuwa wameuficha maana jana nilikuwa busy sikufuatilia. Safi sana wananchiView attachment 3101654
View attachment 3102061
Match Day
CAF Champion League
Young Africans SC VS CBE SA
2nd Preliminary round
2nd Leg
Stadium: New Amani Stadium Zanzibar
Date: 21-09-204
Time 8:30pm EAT
Soma Pia: FT: CBE SA 0-1 Yanga SC |CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Abebe Bikila Stadium | 14.09.2024
#Daimambelenyumamwiko#
Kikosi cha Yanga Kinachoanza Leo.
View attachment 3102278
Updates...
Mpira umeanza kwa kasi kidogo
Yanga wameanza kwa kulishambulia lango la CBE
Wamekosa goli la wazi hapa.
Chama anapaisha mpira
DK 6'
CBE wanapata free kick nje kidogo ya 18 ya Yanga.
Inapigwa haileti madhara yoyote kwa Yanga
View attachment 3102487
Sawa maana najua nikibisha utaleta bango la 5g.Timu nzima yeye ndo alikua anabidii, lazma ari ishuke....ila huku kila mtu yupo moto hata ari imepanda
SitakiUmeamkaje Mtani? π
Tuna "off ya mama" tulale tu.....Hivi Wananchi tunaamka saa ngapi eti? π
Msiba tunasafirisha kwa gaddafi.Hahahaa. Lol.
Happ saa kumi bado haijafika. Lol ππ
Kanza nyie wachawi mnaturoga tusipiteHahahaa. Lol.
Happ saa kumi bado haijafika. Lol ππ
Kuna boti zinaondoka baada ya saa moja na nusu lijalo tunasepa nazo. Kwanini tulale
Pacome ni engine ya Yanga kukosa goli ni kitu cha kawaida..Ni Musonda, ila Pacome umemuonea ni msaada kwa timu kwanzia kwenye kukaba hadi kutengeneza mashambulizi
Huu ni ujinga, Yanga wanatakiwa wawe wanaanzishwa makundi ddirect
Kwao ilikua 2-2Yanga imenyanyasa Timu za ethiopia vya kutosha , mwaka ule wa kina edibily Lunyamila waliipiga coffee ya Ethiopia 6-2 kulekule kwao Ethiopia