Timu ya taifa kocha uwezo ni Mdogo , gamondi ni masterHii mechi itakuwa ngumu sana
Wa Ethiopia inaonekana wanafanya vizuri sana wakiwa ugenini
Ni kama Yanga na team ya taifa na wao ndio walivyo huwa Bora ugenini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu ya taifa kocha uwezo ni Mdogo , gamondi ni masterHii mechi itakuwa ngumu sana
Wa Ethiopia inaonekana wanafanya vizuri sana wakiwa ugenini
Ni kama Yanga na team ya taifa na wao ndio walivyo huwa Bora ugenini
Na tatizo sisi wabongo ni wajinga sana mechi ile ya fainal ya azam v yanga palepale new aman watu wengi sana waliuziwa tiketi feki yani walijua uwanja mdogo utajaa mapema wakaamua kutuimbia kabisa ndo maana wengine tumeghairi tu, kwenda uwanjani.Tatizo lipo kwenye mashabiki kushindwa kuujaza huu uwanja mdogo
Bora wangeacha mechi ipigwe Dar tu
Tatizo siku ile mechi ya yanga na azam fainali ya kombe la FA. palepale new aman watu walifanyiwa utapeli sana kwenye mauzo ya tikti ya ilikua zaidi ya usumbufu!Tukiwaambia Yeboyebo hamna uwezo wa kujaza uwanja hata uwe mdogo vipi mnabisha. Jionee mwenyewe
Kama kubet basi ningepata hela sanaTutawaonesha kina debora namna ya kutia ujauzito vizuri kwa wahabeshi
Yanga 6
CBE 0
Kama mkeka ningepata hela sanaMkuu umetisha.
Iliwapigia shamba la bibi..Kule tulitoka nao sare...Yanga imenyanyasa Timu za ethiopia vya kutosha , mwaka ule wa kina edibily Lunyamila waliipiga coffee ya Ethiopia 6-2 kulekule kwao Ethiopia
Gamondi katili sana ....Kuna kitu kimenishangaza sana na sikutarajia kama ingekuwa hivyo, baada ya Mudathir kufunga goli akawa anashangilia huku na kule. Nikashangaa Gamondi kuonekana anaangalia saa yake kisha akawasisitiza wachezaji waache kupoteza muda waende wakacheze mpira. Yaani magoli manne bado kocha anataka zaidi aisee hiyo sio fair play.
Maisha majumba ya namna hiyo mimi ni hell noo. Siyawezii, bora nikaishi nyumba ya nyasi
Mmefanya kwenye uzi wa Mwasibu? Sijapata notification.Pigen na nyingi kesho
Kikosi kipana au sio?Kikosi kipana, keshaona mechi imeisha hii.... who's next?